Monday, April 30, 2012

historia ya KANUMBA

Steven Charles Kanumba (8 Januari 1984, Shinyanga - 7 Aprili, 2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchini Tanzania. Katika historia ya tasnia ya filamu nchini Tanzania, Kanumba ndiye aliyekuwa msanii wa kwanza nchini kufanya kazi nje ya nchi na kuweza kuwavuta wageni kutoka nchi mbalimbali kuja kuigiza Tanzania. Hasa walikuwa Wanigeria kama vile Mercy Johnson, Emmanuel France, Nkiru Silvanus, Ramsey Nouah, na wengine wengi tu. Kanumba pia ameweza kuwaleta waongozaji filamu kadhaa was Kinigeria nchini.

Yaliyomo

Maisha

Steven alianza masomo yake katika shule ya msingi yaBugoyi, na kuendela na masomo ya sekondari huko Mwadui na baadae kupata uhamisho katika shule moja jijini Dar es Salaam iitwayo Dar Christian Seminary. Alivyomaliza kidato cha nne akaendelea na masomo ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari ya Jitegemee ilioko huko huko Dar es salaam.

Shughuli za uigizaji

Kanumba ameanza shughuli za kuigiza miaka mingi kwenye miaka ya "90". Ila kufahamika zaidi alianza mwaka 2002 mara tu baada ya kujiunga na kundi la sanaa ya maigizo maarufu kama Kaole Sanaa Group.
Picha:Kanumba Picha.jpg
Steven Kanumba
Hivi sasa amejibebea umaarufu mkubwa nchini Tanzania na amekuwa kipenzi cha wengi na amekubalika karibuni nchi zote za Afrika Mashariki na maziwa makuu.
Kwa sasa ameanza kutangaza sanaa nchi za Afrika ya Magharibi ikiwemo Nigeria na pia Wanigeria wamependezewa na uigizaji wake hivyo kushirikiana pamoja naye katika filamu kadha wa kadha. Filamu ambazo wameshawahi kushirikiana pamoja ikiwemo na ile ya Dar to Lagos, She is My Sister na nyingine ambazo bado zinajengwa.

Maono Yake

Steven Kanumba ametangaza hivi karibuni nia ya kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.


Filamu na Tamthilia Alizotunga

Filamu na Tamthilia Alizoigiza

DIAMOND VS ALIKIBA

Saturday, April 28, 2012

Je wanamichezo nyota wako hatarini?

Watu wengi wanafahamu kuwa matatizo ya moyo hasaa mshtuko wa moyo yanaweza tu kuwapata watu wazee.
Lakini kuna takriban vifo miatano huripotiwa kila mwaka nchini Uingereza kutokana na watu walio chini ya umri wa miaka 30.
Wakati ikitokea ni picha ya kushtua. Hasa hasa inapotokea kwa nyota wa michezo kama Fabrice Muamba mwenye umri wa miaka 23 pekee.
Fabrice ni mmoja wa wachezji walio na afya nzuri zaidi katika kilabu chake, Bolton Wanderers.
Matamshi sawa na hayo yalitolewa kuhusu marehemu Marc-Vivien Foe, aliyekuwa mchezji wa Cameroon.
Marc-Vivien alianguka na kupoteza fahamu, wakati wa mechi ya kimataifa mwaka 2003.
Lakini kinachosababisha vifo kama hivi huwa sana kutokana na mtu kurithi ugonjwa fulani kuliko hali ya kiafya ya mtu.
Hitilafu katika celi za mwili ndio chanzo kikubwa cha mipigo isiyo sawa ya moyo au ugonjwa wa misuli ya moyo ujulikanao kama "Cardiomyopathies".
Inawezekana hali ya mtu inaweza kumfanya kupata mshutuko wa moyo, licha ya kuwa anafanya mazoezi kila siku na wala hasongwi sana na mawazo. Hii ni kwa mujibu wa Daktari mmoja mtaalamu wa matibabu ya moyo Leonard Shapiro.
Nyota Fabrice Muamba
Sasa ikawaje mtu mwenye kufanya mazoezi moyo wake kusimama? Hili kwa kweli halijulikani vyema. Lakini utafiti unapendekeza kuwa wale waliorithi matatizo ya moyo uwezekano wa moyo wao kusimama ni mara mbili sawa na wale wanaoshiriki michezo inayohitaji nguvu nyingi.
Daktari Leonard Shapiro, ambaye ni mtaalamu wa matibabu ya moyo pamoja na kuwa mshauri wa shirikisho la soka Uingereza, FA, anasema ni vigumu kufahamu chanzo cha mshtuko wa moyo.
Lakini anasisitiza kuwa kuna mambo kadhaa yanayoweza kumfanya mtu kupata mshutuko wa licha ya kuwa anajihusiha sana na mazoezi yanayohitaji nguvu nyingi.
Sasa je , nini kinaweza kufanyika ili kuzuia matukio kama haya?
Vitengo mbali mbali vya michezo nchini Uingereza hufanyia wachezaji ucgunguzi wa kiafya, ingawa sio lazima, kama ilivyo katika baadhi ya nchi , mfano Italy.
Sio kamili
Katika soka, wachezaji hufanyiwa uchungiz wa kiafya wakiwa na umri wa miaka 16 na kisha kupata ukaguzi zaidi katika siku za baadaye.
Wengi wanaopatikana kuwa na matatizo yoyote, huwa hawaruhusiwi kushirki kwenye michezo ya hali ya juu.
Daktari wa moyo katika michezo, Sanjay Sharma, anasema kuwa ukaguzi huo ni wa kiwango cha juu lakini sio kamili.
Ukaguzi wenyewe unahusu kuchukua historia ya kiafya ya mchezaji kuhusu maradhi ya moyo, kufahamu ikiwa mchezaji huhisi uchungu kifuani wakati akipumua na hata kuuliza maswali kuhusu historia ya familia kwa sababu matatizo mengi ya moyo hutokana na kurithi.
Hata hivyo ukaguzi huu sio hakikisho kuwa mchezaji hawezi kuwa matatizo ya moyo baadaye na tatizo kubwa zaidi huwa matatizo hayo huwa sio ya kudumu.
Hujitokeza tu na kisha kutibika, sawa na hali ya Muamba. Imesemekana kuwa Muamba amefanyiwa ukaguzi wa moyo mara nne tangu aanze kucheza soka, wa hivi karibuni ukifanywa mwaka jana.

Friday, April 27, 2012

IPI ILIKUBAMBA KATI YA HIZI ZA KANUMBA

Big daddy

Because of you
Big daddy

Because of you

Devils kingdom

moses

mosesDevils kingdom

Scene za Filamu ya mwisho ya kanumba NDOA YANGU

.
Wolper and Kanumba.(husband and wife in the movie)







.
 

FC Barcelona’s Pep Guardiola said to quit Nou Camp after the end of the season



Reports in Spain indicate that having been hit hard after winning so much, Pep Guardiola believes his time has come to leave the Nou Camp.
Pep Guardiola feels he has done enough and now has to leave FC Barcelona.
Pep Guardiola feels he has done enough and now has to leave FC Barcelona.
Related Content:

Pep Guardiola is said to meet with his players on Friday prior to their weekend match against Rayo Vallecano to communicate his decision to them. The club is also expected to confirm the news and its consequences during the pre-match press conference.

Guardiola has been linked with English clubs Chelsea, Manchester United and also the Three Lions. Nevertheless – having tasted ultimate success, the pressure that comes along with it and the pain that follows the inability to keep the momentum – the former Barcelona B coach might just opt to take a break from football.

The Telegraph quoted him saying after the Chelsea match: "I will speak with (assistant manager) Tito and see what we have to do.

"Right now, we need to talk more about the emotions of our players and how they recover because there are many players who have been playing a long time.”

Guardiola is described as a comprehensible person by Barcelona’s playmakers, and it is the power of unity that helped the team win two UEFA Champions League crowns, three La Liga titles, one Spanish Cup, three Supercopas, two UEFA Super Cups and two FIFA Club World Cups since 2008. The legendary tactician however declared that he wouldn’t let anything ruin the rest of the club’s season.

“We have to go to Rayo Vallecano (next up), we are still Barca,” he said. “We have to continue doing things as we usually do them.

Pep Guardiola could win what would be his very last trophy at the club as the senior coach when he faces Athletic Bilbao in the Copa del Rey final later in May. In the case of any fiasco, then he will be leaving the Catalans with no trophy out of the three that were put before him at the start of the season.

GUARDIOLA NA MPIRA KWISHA

  PEP GUARDIOLA ATANGAZA KUACHANA NA MPIRA MKATABA WAKE UKIISHA