Sunday, May 6, 2012

LIL WAYNE AMALIZA KESI YA MADAI NJE YA MAHAKAMA.

Mkali kutoka New Orleans, mirror featuring Bruno Mars singer Lil Wayne a.k.a Wizia babes amemaliza kesi nje ya mahakama, Kwa mujibu wa TMZ kesi hiyo ilikuwa ni ya madai iliyofunguliwa March mwaka 2011 ikimshtaki Wayne kwa kutomalizia malipo ya ngoma ngoma lolpop na other tracks zilizokuwemo katika album ya mwaka 2008 “Tha carter III” kiasi alichokua akidai ni dola milioni 20 . Producer huyo anayeitwa “Deezle” Harrison amelipwa pesa hizo dola million 20 na kesi hiyo kufutwa.

Deezle hakuwa producer pekee aliyelalamika, Play N- Skills walimshtaki Weezy mwezi June 2011 kwa kutolipa malipo ya LP ya royalties, mwingine alikuwa David Kirkwood mwezi huo huo.

No comments: